-->

Joey Barton akabiliwa na adhabu kwa kucheza kamari

Kiungo wa klabu ya Rangers ya Scotland Joey Barton anakabiliwa na dhabu ya kucheza kamari tofauti na sheria za soka zinavyosema. Barton ana...

Timu mbalimbali kuwania tiketi ya kufuzu kombe la dunia

Leo timu za nchi mbalimbali zitaingia uwanjani kukipiga kusaka tiketi ya kufuzu kucheza kombe la dunia mwaka 2018 nchini Urusi. Miongoni mw...

Muigizaji wa Nigeria aomba radhi kwa kukumbatiwa

Muigizaji mashuhuri, aliyepigwa marufuku katika sekta ya uigizaji ya Hausa kutokanana 'utovu wa nidhamu' ameomba radhi. Kuonekana k...

Rose: Shearer alikuwa sahihi kusema Uingereza inatapatapa

Mlinzi wa kushoto wa timu ya taifa ya Uingereza Danny Rose amesema Alan Shearer alikuwa sahihi kuita timu hiyo ya taifa kuwa inatapatapa baa...

ITF yatoa onyo kwa wachezaji baada ya kupunguza adhabu ya Sharapova

Chama cha Tennis duniani ITF kimempunguzia mchezaji nyota wa tennis Maria Sharapova adhabu ya kufungo cha miaka miwili na sasa itakuwa miezi...

Bingwa wa ndondi katika uzani mzito duniani ajiuzulu

Bingwa wa ndodi katika uzani mzito duniani Tyson Fury anasema kuwa amejiuzulu kutoka kwa ndondi katika ujumbe uliochapishwa katika mtandao w...

Fifa kuongeza timu zitakazoshiriki kombe la dunia kufikia 48

Rais wa Fifa Gianni Infantino ameshauri kuongezwa wa timu zinazoshiriki kombe la dunia na kufikia 48 zaidi ya ahadi yake aliyoitoa wakati ak...

Roberto Di Matteo afutwa kazi Aston Villa

Meneja wa klabu ya Aston Villa ya Uingereza Roberto di Matteo amefutwa kazi siku 124 baada ya kukabidhiwa mikoba katika klabu hiyo inayochez...

Man United yashindwa kutamba dhidi ya Stoke city

Klabu ya Stoke City ilijipatia pointi moja katika uwanja wa Old Trafford baada ya Joe Allen kusawazisha na hivyobasi kuiadhibu Manchester Un...

Mourinho asema: Tulistahili kushinda kwa zaidi ya mabao 7

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho amesema kuwa wangefaa kushinda na zaidi ya mabao 7-0 dhidi ya Stoke. Mourinho ambaye anmeonekan...

Manchester City atawanywa na Tottenham

Klabu ya Whitehart Lane nchini Uingereza Tottenham Hotspurs iliisitisha rekodi ya Manchester City ya kutofungwa. Goli la kujifunga wenyewe ...

Arsenal yatamba mbele ya Burnley

Burnley ilishindwa kulinda lango lake katika dakika za mwisho za mechi dhidi ya Arsenal na kuwawacha wageni hao wa Emirates kupata ushindi w...

Samwel Eto'o arejeshwa katika kikosi cha timu ya Antalyaspor

Klabu ya soka ya Antalyaspor ya Uturuki imemjumuisha kikosini mshambuliaji wake Samuel Eto'o katika mchezo unafouata dhidi ya Galatasara...

Rigobert Song alazwa hospitalini Cameroon

Nyota wa zamani wa Liverpool na West Ham Rigobert Song amekimbizwa hospitalini akiwa katika hali mahututi baada ya kuugua kiharusi. Song, 4...

Simba walivyobadili matokeo dhidi ya Yanga dakika 4 kabla ya mechi kuisha

Huu ni mchezo ambao mashabiki wa Yanga walikuwa na matumaini ya kuwa wataendeleza ubabe wao wa kuifunga Simba kwa mechi zote mbili kama wali...