-->

THERESA MAY

WANAWAKE NA VIJANA NCHINI WAMETAKIWA KUJIUNGA NA VYAMA VYA SIASA ILI KUGOMBEA KWENYE NAFASI MBALIMBALI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MI...

Mtanzania afungua mgahawa huko Sweden

Mgahawa mkubwa unaotoa huduma za chakula cha Kitanzania unaomilikiwa na mpishi maarufu duniani, Issa Kapande `Chef Issa', umefunguliwa...

MAJINA YA WALIOPANGWA JESHI FORM 6 AWAMU YA PILI

                                        KUONA MAJINA BONYEZA HAPA JKT MSANGE RUVU

Sketi 'fupi' yamzuia kuingia darasani Uganda

Mwanafunzi mmoja nchini Uganda ,Joaninne Nanyange amechapisha ujumbe mrefu katika mtandao wake wa Facebook akilalamika vile alivyozuiwa ku...

Magufuli afutilia mbali bodi ya TRA nchini Tanzania

Rais wa Tanzania ametangaza kwamba ameamua kumfuta kazi mwenyekiti wa Mamlaka ya Mapato nchini humo (TRA) na kuvunja bodi nzima baada ya u...

Moto Israel: Washukiwa 12 wakamatwa

Maafisa wa polisi nchini Israel wamewakamata watu 12 kwa tuhuma za uchomaji wa makusudi kufuatia msururu wa moto ambao umekuwa ukilichoma ...

Fidel Castro afariki dunia akiwa na miaka 90

Fidel Castro, kiongozi wa zamani wa Cuba aliyeongoza mapinduzi ya Kikomunisti, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90, kakake ametangaz...

Mawaziri walumbana uteuzi wa mgombea urais Ufaransa

Mawaziri wakuu wastaafu wawili nchini Ufaransa walilumbana katika mdaalo wa Televisheni baada ya uteuzi wa mgombea wa urais wa mrengwa wa ...

Watu 80 wafariki katika shambulizi la Bomu lililowalenga washiha Iraq

Vyombo vya usalama vya Iraq vimesema kwamba zaidi ya watu themanini wameuawa kwa shambulizi la bomu lililowalenga madhehebu ya kiislamu ya...

Wanajeshi wa Iraq wapambana na IS ndani ya Mosul

Wanajeshi wa Iraq wanapambana na kundi linalojiita Dola la Kiislamu - IS ndani kabisa ya mji wa Mosul, na kuwaongezea shinikizo wanamgambo...

Netanyahu: Moto mkubwa Israel umesababishwa makusudi

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kuwa moto mkubwa ulioenea Magharibi mwa nchi hiyo huenda umesababishwa makusudi na yaweze...

Al-Qaeda yathibitisha kuuawa kwa kiongozi wao

Kundi la kigaidi la Al-Qaeda limethibitisha kuuawa kwa kiongozi wao mkubwa Farouq al-Qahtani huko kaskazini Mashariki mwa Afghanistan kati...

Nigeria: Vikosi vya usalama vyadaiwa kuwaua 150 wa Biafra

Vikosi vya usalama nchini Nigeria vimewaua zaidi ya watu 150 waliokuwa wakifanya maandamano ya amani tangu mwezi Agosti mwaka 2015,kulinga...

Watu 40 waliotekwa Nigeria waachiliwa

Gavana wa jimbo la Zamfara Kaskazini Magharibi mwa Nigeria Abdulaziz Yari ameiambia BBC kuwa raia 40 waliotekwa na watu wenye silaha wamea...

Mwinyi amsifu Magufuli kwa kazi na kasi yake

Rais Mstaafu Tanzania Dkt Ali Hassan Mwinyi amesema amefurahishwa na utenda kazi wa Rais John Magufuli katika kipindi cha mwaka mmoja amba...

Panya buku kutumika kupima kifua kikuu Tanzania

Tanzania imezindua maabara kubwa ya aina yake mjini Dar-Es-Salaam inayopima ugonjwa wa kifua kikuu (TB) kwa kutumia panya buku. Kwa mujibu...

Binti mdogo wa miaka 23 ndio mkuu wa shirika la kupambanana na ufisadi Ukraine

Wakili mwenye umri wa miaka 23 amepewa jukumu la kuongoza shirika la Ukraine linaloshugulikia maswala ya ulaji wa rushwa. Huu ni uteuzi wa ...

Mji wa kale wa zaidi ya miaka 5,000 wagunduliwa Misri

. Wanaajiolojia nchini Misri wamegundua kile wanachosema ni mabaki ya mji ambao ulikuwepo zaidi ya miaka 5,000 iliyopita. Wamepata nyumba, v...

Donald Trump kulipwa $1 kila mwaka

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema hataki kulipwa mshahara wa rais wa $400,000 atakapochukua hatamu Januari mwakani. Badala yake a...

Mataifa yenye wanafunzi werevu zaidi duniani

Katika kutathmini viwango vya elimu duniani, wengi wamekuwa wakiangazia sana ubora wa vyuo. Lakini kwa juml...