-->

Ibrahimovic: Rooney anastahili heshima

Mshambuliaji wa Manchester united Zlatan Ibrahimovic, amesema Wayne Rooney''ni mchezaji bora'' na anastahili heshima zaidi...

Simba vs Yanga: Simba yataka refa kutoka nje

Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limeitaka klabu ya Simba kufuata kanuni na taratibu za shirikisho, Kauli hiyo ya TFF inafuatia ile kaul...

Fifa: Argentina ndio bora duniani, Senegal yaongoza Afrika

Shirikisho la kandanda ulimwenguni (FIFA) limetoa orodha ya viwango bora vya soka ,ambapo mpaka sasa kwa upande wa bara la Ulaya Argentina...

Manchester united yatamba mbele ya feyenoord

Klabu ya Manchester united maarufu kama mashetani wekundu hapo jana wameibuka kifua mbele kwa kuichabanga klabu ya feyenoord kwa magoli 4 ...

Borussia Dortmund na Legia Warsaw wavunja rekodi

Klabu za Borussia Dortmund na Legia Warsaw zilivunja rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi mechi ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya Jumanne, kwa ...

UEFA: Leicester City wang'ara mbele ya Club Brugge

Leicester city wamepata ushindi maridhawa wakati wa muendelezo wa ligi ya mabigwa barani Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya...

Uefa: Man City yatinga hatua ya mtoano kwa mara ya nne mfululizo

Mchezaji kiungo David silva ameithibitishia klabu ya Manchester City kuingia hatua ya mtoano kwa mara nne mfululizo kwa kutoka sare ya gol...

Arsenal nyuma ya PSG hatua ya makundi

Arsenal wanakabiliwa na kibarua kumaliza wakiwa wanaongoza kwenye kundi lao mechi za Kombe la Klabu Bingwa Ulaya baada ya kutoka sare na P...

Steven Gerrard astaafu katika soka

Aliyekuwa nahodha wa Liverpool na timu ya Uingereza Steven Gerrard amestaafu na kukamilisha miaka 19 ya kucheza soka. Gerrard mwenye umri ...

Gareth Bale kukosa mechi ya El Classico

Mshambuliaji wa Real Madrid Gareth Bale atafanyiwa upasuaji wa kifundo chake cha mguu Jumanne ijayo baada ya kuguchia katika mechi ya ushi...

Bondia aliyepigwa Knockout afariki

Bondia mmoja aliyepata jeraha la kichwa katika pigano lake la kwanza amefariki. Kuba Moczyk mwenye umri wa miaka 22 alipigwa knockout kati...

Samuel Eto'o akabiliwa na kifungo cha miaka 10 jela

Aliyekuwa nyota wa timu ya soka ya Cameroon Samuel Eto'o huenda akahudumia kifungo cha miaka 10 jela baada ya waendesha mashtaka kumhu...

Mwanamume afariki shindano la kula kwa kasi Japan

Mwanamume nchini Japan amefariki siku tatu baada yake kusongwa na wali wakati wa shindano la kula kwa kasi. Mwanamume huyo, ambaye jina la...

FA yapanga kumwadhibu Mourinho

Shirikisho la Soka England (FA) limemwandikia barua Meneja wa Manchester United Jose Mourinho likimtaka ajieleze kuhus...

Wenger: Nisingeweza kumuuza Walcott

Mkufunzi wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa hakuwahi kufikiria kwamba angemuuza mshambuliaji wa Uingereza Theo Walcot msimu ulio...