-->

Watu 80 wafariki katika shambulizi la Bomu lililowalenga washiha Iraq

Vyombo vya usalama vya Iraq vimesema kwamba zaidi ya watu themanini wameuawa kwa shambulizi la bomu lililowalenga madhehebu ya kiislamu ya kishia kusini mwa mji wa Baghdad. Gari lililokuwa limebeba vilipuzi hivyo lililipuka karibu na kituo cha mafuta ambapo watu wengi wa dhehebu hilo walikuwa wameegesha magari yao. Wengi wa watu waliofariki ni wananchi wa Iran na Afghanistan. Walikuwa wakitoka kwenye moja ya tukio muhimu lAskari wa kundi la kiislam wamekiri kuhusika na shambulizi hilo. kundi hilo la wapiganaji la kiislam mara kwa mara hulenga madhehebu ya kishia na kuwatuhumu kwamba ni waongoa kidini kwenye mji mtakatifu wa Karbala.

Nemo enim ipsam voluptatem quia voluptas sit aspernatur aut odit aut fugit, sed quia consequuntur magni dolores eos qui ratione voluptatem sequi nesciunt.

Disqus Comments