-->

Leicester City yang'ara UEFA

Klabu ya soka ya Leicester City imeendeleza wimbi la ushindi katika michuano ya ligi ya mabing...

Dulla Mbabe kupigana na Mchina Dar

Bondia wa Tanzania Dulla Mbabe tarehe 28 Oktoba anatarajia kupambana na Bondia Chengbo Zheng kutoka Taifa la Chin...

SIMBA YAONYWA MBEYA

Timu ya soka ya Mbeya City imetoa onyo kwa Simba kuwa hawatatoka salama kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kesho, kwani wamejipanga kuif...

Coleen Rooney ashutumu wanaomkosoa Wayne

Coleen Rooney, mke wa nahodha wa Manchester United na England Wayne Rooney, amewashutumu wanaomkosea mumewe akisema sasa wamezidi. Amewata...

Christian Benteke afunga bao la kasi zaidi mechi za Kombe la Dunia

Mshambuliaji wa Ubelgiji Christian Benteke alifunga bao la kasi zaidi katika mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia, baada ya kufunga bao sekun...

Tyson Fury: WBO kutwaa mkanda wa ubingwa wa dunia

Bingwa wa uzani wa juu wa ndondi duniani, Mwingereza Tyson Fury amepewa siku 10 na WBO kueleza ni kwa nini hafai kupokonywa mkanda wake wa ...

Steve Bruce kuwa kocha mpya wa Aston Villa

Klabu ya soka ya Aston Villa ya England inatarajiwa kumtangaza Steve Bruce kuwa meneja mpya wa timu hiyo leo jumatano baada ya kumtimu koch...

Dereva kutoka Finland, Tapio Laukannen, aibuka mshindi wa Eldoret Rally

Dereva kutoka Finland, Tapio Laukannen, ameibuka mshindi wa Eldoret Rally, ukiwa ndio mkondo wa sita wa mashindano ya kitaifa ya magari nch...

Iwobi na Iheanacho waifungia Nigeria

Nyota wa Nigeria wameingia katika mitandao ya kijamii kusherehekea ushindi wao wa kwanza katika harakati za kufuzu katika kombe la dunia la...

UKAD lachunguza uendeshaji baiskeli Uingereza

Maafisa shirika la Uingereza la kupambana na matumizi ya dawa za kutitimua misuli, UKAD, wametembelea makao makuu ya uendeshaji baiskeli Ui...

Je,ni wakati wa Rooney kubwaga manyanga Uingereza?

Uingereza ilianza msimu mpya chini ya kaimu mkufunzi Gareth Southgate kwa kupata ushindi dhidi ya Malta. Swala muhimu baada ya mechi hiyo ...

Busu'' lamuepusha kupigwa marufuku michezo ya Olimpiki

Bingwa wa dunia katika mchezo wa kuruka kwa kutumia ufito {Pole Vaulter} Shawn Barber alikuwa na haki ya kushiriki katika michezo ya Olimpik...

Nicola Adams anatafakari kushiriki masumbwi kitaaluma

Mshindi mara mbili wa Olimpiki Nicola Adams anasema amefanya mazungmo kuhusu kupigana masumbwi kama taaluma. Adams amekuwa mpiganaji masum...

Kolo Toure: Wenger alinitoa mbali na kunijenga

Kipindi hiki meneja wa Arsenal Arsene Wenger anapoendelea kusherehekea kutimiza miaka 20 kwenye usukani, mmoja wa wachezaji wake Kolo Toure...

Tyson: Ninatumia Cocaine kukabiliana na ugonjwa wa Kiakili

Bingwa wa ndondi katika uzani mzito duniani Tyson Fury amesema amekuwa akitumia Cocaine ili kumsaidia kukubiliana na matatizo ya kiakili. B...