Mwanamfalme mmoja nchini Saudi Arabia ameuawa kutokana na makosa ya kumuua mwanamume baada ya mzozo miaka mitatu iliyopita mjini Riyadh, wiz...
Kenya yampata jaji mkuu mpya, David Maraga
Jaji David Maraga ameapishwa kuwa Jaji Mkuu mpya wa Kenya baada ya kustaafu kwa jaji mkuu wa awali Dkt Willy Mutunga. Jaji Maraga atakuwa j...
ICC yamkuta Bemba na hatia ya kuwahonga mashahidi
Aliyekuwa makamu wa rais Congo, Jean-Pierre Bemba amepatikana na hatia katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC ya kuwahonga mashahidi. ...
MISRI YASHUTUMIWA KUCHOCHEA MACHAFUKO ETHIOPIA
Ethiopia imeituhumu serikali ya Misri kuwa ndiyo inayochochea machafuko nchini humo. Getachew Reda, Waziri wa Habari na Msemaji wa Serikal...
MAGUFULI ATAKA DIPLOMASIA IKUZE VIWANDA
RAIS John Magufuli, ametaka utekelezaji wa diplomasia ya uchumi utiliwe mkazo katika uwekezaji kwenye sekta ya viwanda. Aliyasema hayo Ikul...
POLISI DAR WANASA MTANDAO WA SCORPION
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imefanya operesheni katika maeneo ya katikati na pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam na kuwakamata wa...
SHEIN KUHUTUBIA BUNGE LA EAC KESHO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein leo anatazamiwa kulihutubia Bunge la Afrika ya Mashariki ambapo ...
Save the Children: Msichana wa chini ya miaka 15 huozwa 'kila sekunde saba'
Ripoti mpya ya shirika la Save the Children inasema msichana wa chini ya miaka 15 huozwa kila baada ya sekunde saba duniani. Ripoti hiyo i...
Nyoka 'watoroka' katika shamba China
Maafisa mashariki mwa China wanawasaka zaidi ya nyoka 50 aina ya swila (cobra kwa Kiingereza) waliotoweka kutoka shamba la nyoka linaloende...
Kim Kardashian West ashtaki kwa kudaiwa 'kuigiza wizi'
Nyota wa ugizaji wa televisheni wa maisha ya uhalisia Kim Kardashian West ameshtaki tovuti moja ya udaku kuhusu wasanii kwa kudai kwamba al...
Merkel azindua jumba la Nyerere Addis Ababa
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amezindua jumba jipya makao makuu ya Umoja wa Afrika ambalo limepewa jina la rais mwanzilishi wa taifa l...
Washia wauwawa mjini Kabul
Shambulio limetokea eneo maalumu la ibada la waumini wa dhehebu la shia katika mji wa Kabul huko Afghan. Watu 14 wamekufa na wengine 26 wa...
Urusi yaendeleza mashambulizi ya ndege Aleppo
Ndege za mashambulizi za Urusi zimetekeleza shambulio kubwa katika maeneo yaliyoshikiliwa na waasi mjini Aleppo. Takribani watu 12 wameuaw...
DR Congo imo kwenye 'hatari kubwa', UN yaonywa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliwa na hatari kubwa ya kutumbukia kwenye machafuko, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetahad...
China yashinda tuzo la kutambua mvinyo duniani
Kundi moja la wataalam nchini China limeshinda tuzo la shindano la kuonja mvinyo nchini Ufaransa. Watalaam hao walitambua mivinyo waliopew...
Wazazi wachunguzwa kwa kifo cha msichana aliyefunga siku 68
Polisi India wanachunguza wazazi wa msichana mwenye umri wa miaka 13 aliyefariki wiki iliyopita baada ya kufunga kwa siku 68 kama ibada. P...
Watu 17 wauawa Myanmar
Vikosi vya usalama nchini Myanmar vimesema kuwa watu 17 wameuawa wakiwemo polisi tisa, mauaji hayo yametokea katika kituo cha polisi huko k...
Rais Santos wa Colombia kutoa pesa kuwasaidia waathirika
Rais wa colombia Juan Manuel Santos amesema kuwa atatoa pesa kutoka katika tuzo yake ya amani ya Nobel ili kuwasaidia waathirika wa mgogoro...
Kenya yalaumiwa kwa kukiuka sheria za wakimbizi
Kenya inakiuka sheria za kimataifa kwa kuwalazimisha wakimbizi kwenye kubwa zaidi duniani kurudi nchini Somalia ifikapo mwezi Novemba, kwa ...