-->

Waumini wasusia misa ya papa Georgia

Papa Francis ambaye anafanya ziara yake nchini Georgia ameongoza ibada ya misa ambayo ilihudhuriwa na watu wachache mno, baada ya viongozi wa kanisa la Orthodox kuwataka waumini wao kutoshiriki katika ibada ya wakatoliki. Ujumbe kutoka kanisa hilo la Orthodox ulitarajiwa kuhudhuria ibada hiyo, japo hawakuhudhuria. Wakati papa francis aliwasili nchini Georgia alilakiwa na waandamanaji wachache wa kanisa la Orthodox, waliokuwa wakiituhumu Vatican kuwa mnyanyasaji wa kidini.

Nemo enim ipsam voluptatem quia voluptas sit aspernatur aut odit aut fugit, sed quia consequuntur magni dolores eos qui ratione voluptatem sequi nesciunt.

Disqus Comments