-->

Viumbe wa porini wanakabiliwa na kitisho

Mahitaji ya pembe za Faru hususani barani Asia umepelekea mnyama huyu kuelekea kutoweka. Licha ya biashara ya pembe za Faru kupigwa marufuku chini ya CITES tangu 1977, karibu faru 25,600 pekee kutoka aina zote tano za faru wamesalia . Katika hoja yenye utata, mfalme wa Swaziland anapendekeza kuhalalishwa kwa biashara ya kimataifa ya pembe za faru.

Nemo enim ipsam voluptatem quia voluptas sit aspernatur aut odit aut fugit, sed quia consequuntur magni dolores eos qui ratione voluptatem sequi nesciunt.

Disqus Comments