-->

VUNJA MBAVU

Mda wakwenda nyumbani ulkuwa umefika,mwalimu akasema:yeyote atakaye jibu swali langu lolote kwa usahìhi ata ondoka acye jibu atabaki.,dogo mmoja akatupa begi nje ya dirisha.Mwalimu akauliza nan katupa ilo begi nje?Dogo akajibu fasta mimi.Akafungua mlango akaenda kwao. ............. kuna mlemavu wa mikono yote miwiwli ali2mbukia kisimani, katikaharakati za kumwokoa w2 wakamrushia kamba ili wamvute, kwakua alikua hana mikono wakamwambia aing'ate kamba ili wamvute!, kazi ya kumvuta ikaanza alipokaribia kutoka njee yulemlemavu akaona nivyema kushukuru kwa wa2 akasema 'aksante' aka2mbukia tena!! alisahau kwamba kamba kaiuma kwa meno!. ........................... Dogo alitoroka skonga aliporudi nyumbani akamkuta babu yake mambo yalikuwa hivi babu:we dery hebu jifiche walimu wako haooo wanakuja,Dogo Dery babu wewe ndo ungejificha maana mi nimeongopa we ndo umekufa.....babu hoi!? ................................. Doctor: Iam sorry to tell you that you have a brain canser Mr.Bean: yesssss!!(jump in joy) Doctor:did you understand what I just told you? Mr.Bean: yes of course do you think I'm dumb? Doctor: then why are you so happy? Mr.Bean: because that proves that I have brain waoooooh! ........................ ENGLISH ni lugha ya wanyama kama huamini soma hii........ Paka ukitaka kumpa chakula halafu useme utampa badae atakuambia NOW.Naye Ng'ombe ukimpa manyasi na kama hajashiba atakuambia MORE na kama wakimbia karibu na nyumba ambayo yafungwa Jibwa,akikusikia atakuuliza WHO. Mtumishi wa MUNGU mmoja akiwa kwenye gari alisimamishwa na Trafic Police,police akiwa anahitaji rushwa alianza kuuliza maswali mengi, mara mbona gari lako linatoa moshi mwingi? mbona gari lako matairi yameisha, hatimaye polisi akamuamuru padre waende nae kituoni. Njiani polisi alimuuliza , umesema wewe ni Mtumishi wa MUNGU, je unabiblia ndani ya gari, akajibu ndio ninayo, polisi akamuambia , pack gari pembeni na unipe biblia. Mtumishi akapaki gari na kumpa biblia yule polisi,Polisi akasita kupokea, akamwambia Mtumishi 'fungua na usome Mathayo 5:25-26 "Mtu wa Mungu akasoma ": "Patana na Mshtaki wako upesi,wakati uwapo pamoja naye njiani: yule mshtaki asijekukupeleka kwa kadhi na kadhi akakupeleka kwa askari,ukatupwa gerezani. " Amin nakuambia,Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho" Mtu wa Mungu akampa yaliyo yake kaizari. Polisi akatabasamu na kusema 'msifanye migumu mioyo yenu".. Enenda kwa amani. . .................... Maasai alishangaa kuona magari yakitiwa petroli kituoni, akaamini mafuta hufanya gari liende kasi. Akapeleka punda wake, akamuinua mkia akisema, "Weka yeye ya 200/- akimbie" Punda kuhisi kidude mwilini, akatimka mbio. Maasai akamkimbiza lakini hakumshika. Akarudi kituoni akainua shuka, akainama na kunena, "Ero, weka mimi ya 500/- nikimbise punda yangu ...................... Netwek ya kampuni flani bomu kweli jamaa alikuwa anachat kwa txt na mpenzi wake Binti; Hi Babes Jamaa: Hi luv (msg sending failed) Binti: Vipi upo? Jamaa: Ndio nipo sweety (msg sending failed) Binti: Mbona hunijibu? Uko na mtu? Jamaa:Mbona nakujibu sweet (msg sending failed) Binti: Mi naona unadharau sana. Mi nimechoka staki tena Jamaa: Pumbavu mkubwa kwenda zako (Msg sent ...................... Jamaa mmoja alichelewa kutoka job nyakati za usiku. Akiwa amekaribia nyumbani kwake Akaona gari linakuja, akaona si vibaya kuomba lifti kwa sababu ni usiku, mvua inanyesha na ni hatari. Laa haulaa! Kumbe Defender ya Polisi."Aroo unatoka wapi na unakwenda wapi muda huu na uko peke yako?" Afande alihoji. Kabla ya kujibu alishitukia rungu na teke kwa mpigo na akajikuta yupo ndani ya gari. Walipokaribia Kituoni jamaa akaruka na kutokomea vichochoroni. Daah... Kwa huzuni huku amelowa akaanza safari ya kurudi tena nyumban halafu mbali. #LIFTI NYINGINE TUANGALIAGE# USIKU MWEMA! ........................ Nani zuzu Zaidi? Wa Kwanza:Nataka Kununua Dunia. Wa Pili:Huwezi. Wa Kwanza;Kwanini? Wa Pili:Kwasababu Siiuzi..! ...................... Mwalimu: Kama nikikuuliza wewe uchague kati ya Hela na Akili utachagua nini? Mwanafunzi: Nitachagua hela. Mwalimu: Hahaha...Ningechagua Akili Mwanafunzi: Sawa,Kila mtu anachagua asichokua nacho! Mwalimu: Aaaaargghhh..we mjinga kweli. ................... duh! si akaingia geto mchezo ukaanza,nikaanza kulamba ile kulamba sinikalamba mavi,tuka geuza mchezo tukaendelea kucheza c akanilambisha tena ile kulamba nika lamba jokeli.sasa una cheka nini haujui kucheza karata? .............. Dogo mmoja alikuwa anapIga story na BABA yake mara demu wake akatokeA!...dah! BABA mwenyewe mtata ... sana...dogo akaamua kutumia akili ya kuzaliwa ...maongez na dem wake yakawa ivi; Dogo:Umekuja kuchukua kile kitabu cha speak english my father dsn't know?! Dem:Ndio na kile cha where should i wait 4 u? Dogo:Hicho hakipo labda kile cha wait me under the coconut tree! Dem:Sawa ucsahau kile cha dont be late i gv u 5 minutes. Dingi kusikia hivyo akampa mwanae elf 10 ili asome kwa bidii ........................ Madenge alimwambia babake kuwa haendi shule tena" akaulizwa kwanini ? Akajibu inaelekea walimu hawana hakika na majibu yao: juzi wamesema 5+2=7, jana 4+3=7,leo wamesema 6+1=7 na vile vile wamesema 8-1=7, je huo c ubabaishaji baba?usiku mwema mpendwa ...................... Kwenye hospital ya vicha nouma hakufai kabaixa bana. Cku 1 jamaaa m1 aliugua ugonjwa wa kicha bana akapelekwa hospital. Alipofika akawekwa gorofani. Yule chizi gafla akaanza kukojoa toka juu ya gorofa wakati docta alipokuwa anakatiza pale gafla chizi akaacha kukojoa. Dokta akajua kuwa kile kitendo cha kukakukojaoa chizi atakuwakapona. Baadaaye dokta kamfuata akamuliza dokta: vp mbona uliacha kukojoa uliponiona? Chizi: niliogopa kwamba ungeuvuta mkojo wangu na ningeanguka toka juu mpaka chini. Docta duuu! ....................... Muamerika, Mjapani na Mwafrika walikuwa wanaoga sehemu moja ya bafu la wazi. Mara mlio wa kifaa ukasikia, mmarekani akanyanyua mkono ... akasema ni mimi nina Microchip pager in my arm Ghafla tena simu ikaita , Mjapani akanyanyua mkono akesema ni simu yangu inaita, nina microprocessor in kwenye kwapa langu. Mwafrika akaona amefunikwa sana, akaamua kutoka akaenda chooni, alivyorudi toilet paper ilikuwa inaninginia sehemu za makalio, mjapani na mmarekani wakamuuliza, ni nini hiyo? Mwafrika akajibu, napokea Fax... ..................... Jamaa mmoja alimwambia mkewe: unaonaje tukajikumbushia zile enzi za uchumba wetu? Mkewe akakubali kwa kusema "sawa sio vibaya" Jamaa akamwambia mkewe "basi kesho tukutane saa 4 garden", mkewe akakubali. Siku ya pili jamaa akafika garden akamsubiri sana mkewe masaa mawili,lakini hakutokea. Jamaa kesho yake akamuuliza mkewe "mbona hukutokea?" Mkewe akamjibu "mama alinkataza nistoke. ................... mlevi alianguka kwenye pipa la taka matako yake yakiwanje kidogo. Akapita kichaa katika harakati ya kusaka chochote kitu kwenye pipa la taka si akayapapasa, Mlevi akatingisha matakao kichaa akajisemea "HUU MTAAMATAJIRI KWELI MATAKO MAZIMAKABISA HAYA YAMETUPWA......!!! .................... Mzungu alipanda ndege na mbongo. Akaanza kumdharau na kuona hajui kitu. Akamwambia mbongo "Tucheze mchezo wakuulizana maswali. Ukiwa hujui unanipa mimi dola 500 na nikikosa mimi nakupa $10,000." kwa tamaa kwamba yeye mjuzi wa yote. mbongo akasema sawa. Mzungu akamuuliza, "nani walipagana world war I?". Mbongo akawa hajui akamlipa mzungu $500. Sasa mbongo akamuuliza mzungu," Kitu gani kinaenda juu na miguu mitatu na kinarudi chini na miguu minne?" Mzungu kimyyyaaa! Akamplipa mbongo $10,000. Sasa akamuuliza, "Haya sasa niambie jibu lake nini?" Mbongo akamrudishie $500, akamwambia "sijui" ......................... father ; nilete soda we mtoto son ; pepsi or coka? father ; pepsi son ; ya kopo ya chupa? father ; ya kopo son ; ya baridi or yamoto? father ; hee! we mtoto mbna maswali mengi....basi bwana ni letee maji tu son ; ya hapa hom or nika nunue kwa shop? father ; ya hapa hapa son ; ya baridi ya moto? father ; ya baridi son ; kwenye glasi or kikombe? father ; ntakupiga na ufagio we mtoto son ; ufagio wa chelewa or wa mti? father ; ntaku uwa we mtoto son ; uta uwaje utanichoma kisu or utanipiga na bastola? father ; ntakupiga na bastola son ; kichwani or tumboni? father ; kichwani...NIMEKWAMBIA TOKA NJE son ; saiv or baadae kidogo? father ; sasa ivi son ; maji hutaki? .................... kichaa mmoja alikuwa juu ghorofani akikojoa chini,mara chini akamuona mtu akipita akaacha kukojoa ghafla daktari alivyomuona akajua huyu kichaa katambua anafanya makosa na inawezekana ndo amepona hivyo,akamuuliza "mbona umeacha kukojoa?",kichaa akamjibu,"unadhani mi mjinga nini, ulitaka yule mtu kule chini ashike mkojo wangu anivute chini nianguke"!! ................. MCHAGA m1 alinunua mbuzi kwa ajili ya krismas,siku ya x-mas ilivyofika kabla ya kumchinja akawa anamwambie yule mpishi jinsi gani ya kumfanya yule mbuzi... MCHAGA-sasa unaju... jua ni nini aisee,nataka hu huyo mbuzi umchinje nyama nusu pika na pilau na ingine weka kwa fri... kwa friji,kichwa utatengeneza supu pamoja na migu... miguu aisee,ngozi usi2pe 2tatengenezea msa... msala kwa ajili ya kukalia,hiyo mifupa 2taudha kwa wenye mbwa,utumbo kama kawai kawaida 2tapika na ndizi,na kinyesi chake itakua mbo mbolea kweli... MPISHI-duh! thatha bothi ina maana hapa hakibaki k2 aiseee? MCHAGA-hakibaki k2 hapo! MPISHI-na thauti yake je (sauti ya mbuzi) MCHAGA-aaah! mmmh! ah! ok! hiyo 2tafanya ringtone kwa simu yangu.SiSI-hahahahahahaha duh! wachaga kiboko.. ............... Kuna mzungu alikuja bongo kufika akapewa ugali na mlenda akashtuka akasema ooooh inakuja na waya. .................... mchaga kalewa anarudi nyumbani kutahamaki kabla hajafika home kuna bonge la shimo kadumbukia akaanza kupiga kelele nakufaa nakufaa familia yake kuja mchaga kadumbukia..c wakaenda kununua kamba kwa ajili ya kumvuta..wamemrushia kamba anauliza mama masawe kamba umenunua sh,ngapi akajibiwa 2000 akaanza kulalamika mbona bei kubwa mama masawe..rudisheni muende kwa mpemba anauza 500..duh ubahili mbaya.. ...................... Wakati watu wanagombania kupanda kwenye basi la Mbagala kama kawaida yao, bibi mmoja alipanda bila shda akapata siti. Baada ya muda konda akamuuliza, bibi unalia nini sasa? Bibi akajibu, ninalia kwa furaha sababu miaka yote niliyoishi Mbagala sijawah kupata siti. Konda akamshangaa, kisha akamwambia, haya bibi pisha siti ya dereva hiyo. amaa anapiga cm makumbusho ya taifa JAMAA;haloo hapo ni makumbusho ya taifa?? OFISI:ndio tukusaidie nini?? JAMAA;ok naomba mnikumbushe mwaka juzi saa yangu niliipotezea wapi? OFISI;pumbavu sana hiyo sio kazi yetu JAMAA;sasa makumbusho mnakumbusha nini?? OFISI;tunahifadhi mambo ya zamani JAMAA; ahaa kumbe saa yangu mtakua nayo basi ntaipitia hapo. ...................... Ndani ya ndege kulikuwa na wa2 maarufu 4 na mwanafunzi 1 , jumla wakawa 5, mara ghafla ndege ikaanza kupoteza muelekeo inataka kudondoka, na mule ndani kulikuwa na maparashuti 4 tu, Akatokea mchezaji mpira :mimi ni mchezaji mpira maarufu na team yangu inanitegememea naombeni niondoke na parashuruti, Akatokea mke wa Clinton mimi ni mke wa Raic licha ya hvyo kipindi kijacho nataka nikagombee Urais naomben niende na parashuti, parashuti zikabaki mbili 2 na mule ndani ya ndege walibaki watu 3,: Akatoke Rais jamani naomben nienda caz nchi yangu inanitegemea mimi licha ya hvyo mimi ndiye Rais mwenye akili kuliko wote, mule ndan ya ndege alibaki mwanafunzi na Papa, Papa akamwambia mwanafunzi ww nenda kwa7bu mimi nimeshakula chumvi nyngi mwanafunzi akamwmbia Papa maparashuti yamebaki 2 Rais amechukua begi langu la shule akijua ni parashuti teh teh...sleep tyt fans... ............................. Top 10 ya kauli zenye changamoto... 1. Mtakula nyasi ndege ya rais inunuliwe - Mramba 2. Graduates msio na kazi kafugeni kuku biashara inalipa sana – Mahiza 3. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK 4. Acheni wivu wa kike – Msekwa 5. Asieweza lipa nauli apige mbizi – Magufuli 6. Baada ya kutumia helcopter ya jeshi kwenda nayo kwao urambo "mlitaka nipande punda" – Kapuya 7. Wabunge wa Dar wanafikiria kwa kutumia makalio - Masaburi 9. Mnauliza mvua kwani mi waziri wa mvua - Wassira 10. Kila mwananchi atabeba msalaba wake – Mkulo ............................. baada ya kumaliza degree yake ya sheria mlimani Bwana Rwegoshora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya kuhudumia clients(wateja) . Siku ya kwanza wakati ndio amefungua ofisi yake,alimuona kijana mtanashati anakuja kuelekea ofisini kwake.Hapo ndipo alipoanza kunyanyua mkono ... wa simu ya TTCL,wakati anajizungusha kwenye viti virefu. Wakati kijana alipokaribia Rwegoshora alionesha kumkaribisha wakati anaongea na simu,alisikika akiongea ''No.no, no, Absolutely no, You tell those clowns in New York that I won't settle this case for less than one million. (pause) Yes, yes . The Appeals Court has agreed to hear that case next week, I'll be handling the primary argument and the other members of my team will provide support. Okay. Pliz dont forget to tell the State Prosecutor that I'll meet with him next week to discuss the details." Yule kijana ametulia tu anamuangalia bwana Rwegoshora anajinyonganyon ga kwamuda zaidi dakika 5. Baada ya kumaliza kuongea na simu,bwana Rwegoshora alielekea kwa huyu jamaa. ''Samahani sana, kwa kukupotezea muda wako, unajuatena kazi zetu hizi unaumiza kichwa sana,kama unavyoona tena mwenyewe hapa, yaani nikobusy sana, ninapokea simu mpaka nimechoka mwenyewe. enh by the way, what can i do for you? Jamaa alijibu. '' Mimi ni mfanyakazi wa TTCL,nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani'

Nemo enim ipsam voluptatem quia voluptas sit aspernatur aut odit aut fugit, sed quia consequuntur magni dolores eos qui ratione voluptatem sequi nesciunt.

Disqus Comments