-->

Tanzania kuchunguza saratani ya kizazi kwa simu

Watafiti kaskazini mwa Tanzania wametengeza programu ambayo wauguzi na madaktari wanaweza kuitumia kuchunguza saratani ya kizazi miongoni mwa wanawake ,ambayo wanasema ni ya kwanza na ya kipekee duniani. Inahitaji madkatari kupiga picha mfuko wa uzazi na simu aina ya smartphone na baadaye kutuma picha hiyo kwa kutumia programu hiyo kwa mtaalam wa matibabu katika kliniki maalum. Daktari katika kliniki hiyo watachunguza picha hiyo na bila kupoteza wakati kutuma tiba kupitia programu hiyo kwa mfanyikazi huyo wa kiafya akitoa maelezo kuhusu tiba hiyo.
Ijapokuwa kuna tataizo ya mawasiliano ya simu,programu hiyo inaruhusu wafanyikazi hao wa kiafya kupiga picha hizo na kuzihifadhi kabla ya kuzituma baadaye. Nchini Tanzania,zaidi ya wanawake 4000 hufariki kila mwaka kutokana na saratani ya mfuko wa uzazi ,kulingana na shirika la afya duniani WHO. Saratani ya uzazi inaweza kuzuiwa

Nemo enim ipsam voluptatem quia voluptas sit aspernatur aut odit aut fugit, sed quia consequuntur magni dolores eos qui ratione voluptatem sequi nesciunt.

Disqus Comments